Tuesday, November 26, 2024

 

 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha kampeni zake za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kata ya Ruvuma, Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma.

Hafla ya kufunga kampeni hizo imefanyika leo Novemba 26,2024 ikihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho, wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mohamed Aboud.

Katika hotuba yake, Aboud amewataka wakazi wa mkoa huo kuchagua viongozi wazuri watakaoweza kutatua changamoto na kero za wananchi, akisisitiza kuwa viongozi bora ni wale wanaotokana na CCM.


Aidha, Aboud amekubali mapendekezo ya Mbunge wa Viti Maalumu, Mariamu Nyoka, na Jackline Ngonyani (Msongozi), akisema yuko tayari kushirikiana nao kutatua changamoto mbalimbali, hasa za wanawake wa mkoa wa Ruvuma.


Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika Novemba 27,2024

0 comments:

Post a Comment

Unordered List

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Duis aute irure dolor in reprehenderit in voluptate another link velit esse cillum dolore eu fugiat nulla pariatur.

Sample Text

Blog Archive

Powered by Blogger.

Search This Blog

Find Us On Facebook

Random Posts

Social Share

Flickr

Events

Text-Widgets

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis aute irure dolor in reprehenderit in voluptate another link velit esse cillum dolore eu fugiat nulla pariatur.

Sponsor

Recent comments

Recent Comments

?max-results=10">Gallery
');
    ?orderby=published&alt=json-in-script&callback=mythumb\"><\/script>");

Popular Posts

Popular Posts

Recent Posts

Header Ads

Text Widget